MATUMIZI YA INTANETI YAMEONGEZEKA KWA ASILIMIA 4.2 KUTOKA MILIONI 29,858,759 HADI 31,122,163.

Na Moreen Rojas-Dodoma Takwimu za sasa zinaonesha matumuzi ya intaneti yameongezeka kwa asilimia 4.2 kutoka milioni 29,858,759 mwaka 2021 hadi kufukia 31,122,163 mwezi septemba 2022.Hayo yameelezwa na Dkt.Jabir Bakari Mkurugenzi Mkuu (TCRA) wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma kuhusu taarifa ya utendaji wa majukumu kwa mwaka 2021/22 na mpango kazi 2022/23. Amesema kuwa